Wednesday, 7 August 2013

Baada ya katiba kupitishwa na msajili mchakata wa uchaguzi kuanza TFF

Baada ya vuta nikuvute kati ya TFF na serikali hatimaye msajili apisha Katiba ya TFF, kulingana na maagizo ya FIFA  uchaguzi unatakiwa ufanyike tarehe 30 mwezi wa tisa (30/Sept/2013). Raisi wa TFF Leodgar Tenga aagiza kamati ya uchaguzi kuanza mchakato wa uchagizi mapema iwezekanavyo.

No comments:

Post a Comment