MFANYABIASHARA MAARUFU WA MERERANI APIGWA RISASI
Mfanyabiashara maarufu Erasto Msuya mmiliki wa S G Resort na Mfanyabiashara wa Madini wa Mererani ameuwaawa kwa kupigwa Risasi,alikuwa akitoka Mererani kuelekea Moshi.Waliompiga ni watu wawili waliokuwa wamepanda Pikipiki alijaribu kukimbilia Mbugani wa hakufika mbali akamiminiwa Risasi.Kuna madai mengi ambayo hayajathibitishwa kama wamechukua pesa au la.
Mfanyabiashara maarufu Erasto Msuya mmiliki wa S G Resort na Mfanyabiashara wa Madini wa Mererani ameuwaawa kwa kupigwa Risasi,alikuwa akitoka Mererani kuelekea Moshi.Waliompiga ni watu wawili waliokuwa wamepanda Pikipiki alijaribu kukimbilia Mbugani wa hakufika mbali akamiminiwa Risasi.Kuna madai mengi ambayo hayajathibitishwa kama wamechukua pesa au la.
.jpg)
.jpg)
No comments:
Post a Comment