we need freedom of information na hatutaki kuwa controlled on a social network , voice of the People ni social network ,
WHY SOCIAL NETWORK IS POWERFUL ?
To be honest social network is live , unaona emotion za watu tutoe matusi ila social network kupitia simu yako inaweza ku communicate kuhusu ujasiriamali , kufuta umasikini and etc etc , mfano makampuni ya simu siyaelewi mie kama mtanzania nampigia simu mtanzania mwenzangu hapa hapa nakutana na ringtone ya P-SQUARE Badala ya Diamond , why msiondoe ringtone za nje to support our artist na kuwalipa vizuri au mpaka afe ndio muanze Issue zenu za ku support kuuza kazi zake za sanaa kujifanya mnamjali akiwa katika jeneza? doe wake up guys…………………..fanyeni the right thing right about now.
UBAYA WAKE ni kama moto though maana kuna wanaoitumia vibaya , ni kama bunduki inaweza kukuharibu wewe mwenyewe, learned that it reveals a lot about you, inaweza toa focus yako katika mambo muhimu sana learned alot siku hizi za karibuni,
The smarter we become, the more stressed we seem to get. Are you tired of your smartphone running (and ruining) your life?
With your does-it-all smartphone, you’ll never miss a call, text, email, social update, video or anything else that can be beamed into that nifty little device. But is that such a great thing? Your smartphone can increase stress levels — yours, and that of others affected by your always-on habit. mfano mie na twitter lol…you know what am talking about ……… learned from the beast thou to kip it Personal nowdays, how i love this man….. lol. reason i love my Mr.WRONG…My Libra man iks so smarter ……tuishie hapo. no need to drop out the name , ya already know.
Out in public
Just about anywhere in public — on buses, in stores or restaurants, even while waiting for take-off — we’ve all encountered a smartphone user who broadcasts their side of a conversation. While that can sometimes be entertaining, it can get annoying and stressful.
so you decide how to use it , weakness is not the choice.
i am out.
source Diva Loveness
No comments:
Post a Comment