Thursday 24 July 2014

Hawa wako kwenye rada ya Simba.

ZOEZI la usajili linaonekana kuupasua kichwa uongozi mpya wa klabu ya Simba kutokana na kuwepo kwa mkanganyiko mkubwa juu na nani asajiliwe katika kikosi hicho.
Simba tayari imewasajili mabeki Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Joram Mgeveke na makipa Hussein Shariff ‘Casillas’ na Peter Manyika Junior ikiwa ni jitahada zake za mwanzo za kuboresha kikosi hicho.
Kwa sasa viongozi wa Kamati ya Usajili ya Simba wanahaha ndani na nje ya nchi kuangalia uwezekano wa kuongeza nyota kadhaa katika kikosi cha timu hiyo. Ifuatayo ni orodha ya wachezaji 10 wanaoweza kuvaa jezi za Simba msimu ujao na ambao wamekuwa wakiupasua kichwa uongozi mpya.

1. Jean-Claude Iranzi
Ni straika wa APR ya Rwanda yuko kwenye rada za viongozi wa Kamati ya Usajili ya Simba ikiwa ni jitihada za kumwongezea nguvu Mrundi Amissi Tambwe katika upachikaji wa mabao klabuni hapo. Iranzi alizungumza na Mwanaspoti na kukiri kufanya mazungumzo ya awali na uongozi wa Simba hivyo huenda tukamwona kwenye jezi ya wekundu hao msimu ujao,ingawa bado viongozi wa juu wanabishana.

2. Paul Kiongera
Rais wa Simba, Evans Aveva katikati ya wiki iliyopita alikwea pipa hadi nchini Kenya kwenda kufanya mazungumzo na mshambuliaji huyo wa KCB ya nchini humo baada ya jitihada za Kamati ya Usajili kufeli. Awali Kamati ya Usajili ya Simba ilifanya makubaliano na Kiongera na kukubaliana kumlipa dola 15000 (Sh 24.3 milioni) kama ada ya usajili lakini mmoja wa vigogo hao wa Simba alikurupuka na kujikuta akipandisha dau hilo hadi dola 25000 (Sh 32.3).
Habari kutoka ndani Simba zinadai kuwa Aveva ameshafanikiwa kumalizana na Kiongera na atatua nchini muda wowote kuanzia leo ili kusaini mkataba na wekundu hao.

3. Pierre Kwizera
Kiungo Pierre Kwizera anayekipiga timu ya Afad Abidjan ya Ivory Coast aliwasili nchini alfajiri ya Jumamosi iliyopita na kufanya mazungumzo na viongozi wa Kamati ya Usajili ya Simba na kufikia makubaliano ya awali. Baada ya kufikia makubaliano hayo Pierre tayari amerejea nchini Ivory Coast kwenda kumalizana na klabu yake hiyo ya awali kwaajili ya kukamilisha dili hilo la kuhamia Simba. Ujio wa Pierre unaweza kuua dili la Iranzi kutokana na nafasi za wachezaji wa kigeni klabuni hapo kusalia mbili pekee. Nafasi ya pili itajazwa na Kiongera.

4. Elius Maguri
Baada ya Simba kushindwa kukamilisha dili la usajili wa mchezaji yoyote kutoka klabu ya Mbeya City, sasa wamehamishia rada zao kwa mpachika mabao wa Ruvu Shooting, Elius Maguri. Mshambuliaji huyo ambaye alimaliza msimu uliopita akiwa na mabao 14 huenda akaongezwa msimbazi ili aongeze nguvu katika kikosi hicho kilichomaliza katika nafasi ya nne msimu uliopita. Taarifa zaidi zinadai kuwa Simba imeshamalizana na mchezaji huyo na kazi imeabaki kumalizana n

5. Saady Kipanga
Licha ya Klabu ya Mbeya City kugoma kuwauzia Simba mchezaji yoyote, Kipanga bado ana mapenzi ya kutua Simba na tayari ameshafanya makubaliano na baadhi ya viongozi wa kamati ya Usajili. Dili la Kipanga linaonekana kuwa gumu kutokana na Mbeya City kuwa na msimamo mkali hivyo endapo uhamisho wa Elius Maguli utafanikiwa dili la Kipanga linaweza kuwekwa kapuni.

6. Edward Charles
BEKI ngongoti wa JKT Ruvu, Edward Charles amekuwa kwenye rada za Simba kwa muda mrefu sana na huenda wiki hii viongozi wa Kamati ya Usajili wa klabu hiyo ukamalizana na mchezaji huyo. Taarifa za ndani kutoka Simba zinaeleza kuwa dili hilo limekwamishwa na wakala wa Charles ambaye ni Mjomba wake kutaka Simba itoe Sh 25 milioni wakati Simba wako tayari kutoka Sh 18 milioni pamoja na kulipa fidia ya mkataba wake wa mwaka mmoja uliosalia Ruvu.

7. Jabir Aziz ‘Stima’
Taarifa za ndani kutoka Kamati ya Usajili ya Simba zinadai kuwa kuna uwezekano kiungo wa zamani wa klabu hiyo, Jabir Aziz ‘Stima’ aliyetemwa na Azam akarejeshwa klabuni hapo. Dili la Stima linaonekana kukwamishwa na dili jingine la Michael Mgimwa ambaye tayari ameanza mazoezi na klabu hiyo. Awali baadhi ya viongozi wa Kamati ya Usajili walimtaka Stima akafanye mazoezi na klabu hiyo ili kocha mkuu wa timu hiyo Zdravko Logarusic aweze kuuona uwezo wake lakini mchezaji huyo aligoma na kutaka kupewa mkataba kwanza.

8. Deus Kaseke
Simba bado haijakata tamaa ya kumnasa kiungo mshambuliaji wa Mbeya City, Deus Kaseke ambaye amewekewa ugumu na klabu yake. Kocha Logarusic aliingia matatani na uongozi wa klabu hiyo wikiendi iliyopita baada ya kuutaka uongozi wa klabu hiyo kumsajili Kaseke pamoja na wenzake wanne kutoka Mbeya City. Taarifa za ndani zaidi kutoka Simba zinadai kuwa Logarusic anaukubali sana uwezo wa Kaseke.

9. Haruna Moshi ‘Bobani’
Kamati ya usajili ya Simba imekumbwa na mpasuko mkubwa baada ya baadhi ya vigogo wa kamati hiyo kuibua upya uwezekano wa kumrejesha kiungo wa zamani wa timu hiyo, Haruna Moshi ‘Bobani’. Awali Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe alisema hawawezi kumrejesha Bobani kutokana na nidhamu yake mbaya lakini inasemekana kuwa baadhi ya wajumbe wanampigia chepuo mchezaji huyo kwa madai kuwa kiwango chake bado kinaridhisha.

10. Shaaban Kisiga
Uchovu! Kamati ya Usajili ya Simba imeonekana kuchoka baada ya baadhi ya wajumbe wake kupendekeza kusajiliwa kwa Kiungo Shaban Kisiga. Kiungo huyo kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kutemwa na Mtibwa Sugar aliyoichezea msimu uliopita. Hivyo katika majira haya ya usajili usishangae kusikia Kisiga amesajili kuichezea Simba kwa mara ya pili.

Tiba, kinga ya Ukimwi vyanukia.



Watafiti katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba cha Temple, Marekani wamegundua dawa ya kuangamiza Virusi Vya Ukimwi (VVU) ambayo ni ya uhakika zaidi ukilinganisha na zilizowahi kupatikana katika tafiti za awali duniani.Dawa yao inaweza kutumika kwa tiba ya wanaoishi na VVU na kinga kwa wale ambao bado hawajaambukizwa.

Mmoja wa watafiti hao, Dk Kamel Khalili aliwaambia waandishi wa habari juzi mjini Philadelphia, Marekani kuwa tofauti na utafiti mwingine, wao wamegundua namna ya kukiondoa kirusi kilichoingia kwenye kinasaba (DNA) ndani ya CD4 na kukitoa nje na hatimaye kukiua.

Alisema dawa hiyo inafanya kazi hiyo bila kuathiri seli za mwili wa binadamu.

Dk Khalili alisema ugunduzi wao ni wa hali ya juu zaidi kwa sababu teknolojia ya kutengeneza dawa hiyo ni tofauti na nyingine zilizokwisha kugunduliwa ambazo hazina uwezo wa kupenya ndani ya seli za binadamu, bali kuathiri tu VVU vilivyopo nje yake, ndani ya mfumo wa damu.

“Dawa yetu inakivuta kirusi nje ya seli (CD4) bila kuiathiri seli yenyewe na kukiua. Hivyo dawa hii itatumika kwa muda fulani na kuua virusi vyote mwilini na hakuna haja ya kuitumia wakati wote kama ilivyo dawa ya kufubaza VVU (ARV).”

ARV huangamiza VVU vilivyopo kwenye damu na kuendelea kuviacha hai vile ambavyo tayari vimeingia ndani ya CD4, hivyo kufanya virusi kuzuka upya pindi mwathirika anapoacha kutumia dawa.

Mmoja wa wataalamu katika Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Kituo cha Mbeya (NIMR-MMRC), Clifford Majani ameuelezea utafiti huo kama mwanga mpya katika teknolojia ya kukabili VVU.

“Kama imepatikana teknolojia ya kukiondoa kirusi ndani ya seli ni hatua nzuri ya kukabili VVU. Hili lilionekana kuwa gumu mwanzoni,” alisema Majani.

Alisema imekuwa vigumu kuua kirusi kikiwa ndani ya seli na hata baadhi ya wanasayansi wamejaribu kutengeneza dawa itakayotambua seli zilizoathirika ili ziuawe lakini hilo likawa gumu.

“Inaweza ikapatikana dawa ya namna hiyo (inayoua seli zilizoathirika) lakini ikawa inaathiri vitu vingine ndani ya mwili. Hilo halikubaliki. Kikubwa katika ugunduzi huo ni dawa kuweza kukifuata kirusi kinakojificha na kukiondoa, jambo ambalo dawa nyingi zimeshindwa zikiwamo ARV,” alisema.

Hata hivyo, Majani alisema changamoto ambayo inaweza kujitokeza katika majaribio ya dawa hiyo ni usalama wakati wa matumizi.kukiondoa,jambo   ambalo dawa nyingi zimeshindwa zikiwamo ARV,” alisema.

“Lazima dawa hiyo ichunguzwe isije ikawa inaathiri viungo vingine pamoja na utendaji wa mwili kwa ujumla. Maana hapo ndipo dawa nyingi zinaposhindwa… Tusubiri tuone hii inaweza kuwa na matumaini zaidi,” alisema Majani.

Mkutano wa Ukimwi

Ugunduzi huo umekuja wakati wanasayansi, waunda sera na wadau wa mapambano ya VVU wakiwa wanatoa kauli za kukata tamaa kwenye mkutano wa Ukimwi unaomalizika kesho huko Melbourne, Australia.

Wanasayansi kadhaa wanaotoka kwenye taasisi kubwa za utafiti za VVU wameweka wazi kuwa tafiti nyingi zilizokuwa na matumaini zimeshindwa kufanya kazi kwa asilimia 100 baada ya dawa zake kufanyiwa majaribio kwa sababu dawa zake zinapotumika, vipimo huonyesha wamepona lakini baada ya muda VVU hurejea upya.

“Kinachoonekana ni kwamba virusi hivi hujificha sehemu fulani ya mwili ili visiathirike na kusubiri mtu aache dawa ili virejee upya kushambulia CD4,” alisema Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti ya wa Magonjwa ya Kuambukiza na Kinga ya Peter Doherty ya Australia, Profesa Sharon Lewin.

Dawa mpya inavyofanya kazi

Dk Khalili alisema wametengeneza dawa yao kwa protini maalumu ambayo inakata sehemu ya seli iliyoshambuliwa na kirusi cha Ukimwi na kukivuta nje.

Baada ya kukivuta, dawa huachana na seli hiyo na kuiacha ikijitibu yenyewe na kupona kabisa kiasi cha kuendelea na kazi zake za kinga mwilini mwa binadamu bila tatizo.

VVU kwa kawaida hushambulia seli kinga aina ya CD4 na kuzifanya kama kiwanda cha kuzalishia virusi vingine.

Kwa kawaida seli ikishaingiliwa na kirusi, huacha kazi yake ya kinga ya mwili na badala yake kuchukua jukumu la kutengeneza VVU.

“Dawa yetu inafanya kazi kwa haraka, kwa makini na bila kuathiri seli,” alijigamba Dk Khalili.

Alisema tayari imefanyiwa majaribio maabara na kuonekana inafanya kazi vizuri na sasa wamehamishia majaribio kwa wanyama.

Katika maabara, alisema dawa hiyo ilifanyiwa majaribio kwa damu ya binadamu na ikaonyesha kufanya kazi kwa asilimia 100.

Dk Khalili anaamini kwamba majaribio hayo yatawachukua miaka michache... “Lakini tunaamini ni mfumo ambao utaweza kufanya kazi vizuri kwa binadamu.”

Alisema wanachofanya sasa ni kuangalia mfumo ambao utakuwa mzuri zaidi kwa ajili ya tiba ya binadamu.

Kwa namna teknolojia ya dawa hiyo ilivyo, alisema wanaweza kuitumia kwa ajili ya kuwatibu wale ambao tayari wameambukizwa na hata kuwakinga wale ambao siyo waathirika.

Uzuri wa dawa hiyo, pia alisema inaweza kutumiwa na mtu ambaye anatumia ARV pasipo kuingiliana kiutendaji.

Ugunduzi wao ulichapishwa kwenye Jarida la Taifa la Elimu ya Sayansi la National Academy of Science la Marekani na kuonekana kuvuta hisia za wengi.

Hali ya Ukimwi duniani

Akizungumza kwenye mkutano wa Melbourne, Profesa Lewin alisema tafiti za sasa zinaonyesha kuwa karibu watu milioni 14 duniani wanaishi na VVU.

Alisema mamilioni ya watu hao wamekuwa wakisaidiwa kwa kutumia ARV, wakati huu ambao bado hakuna kinga wala tiba, inayoaminika.

Alisema ingawa tafiti nyingi hazijaonyesha matumaini waliotarajia ya kupata kinga na chanjo, bado juhudi zinaendelea ili kuhakikisha wanafikia mahali HIV inakuwa haina nafasi katika mwili wa mwanadamu.

Alisema pamoja na matokeo hasi ambayo yamejitokeza kwenye tafiti nyingi, bado anaamini kwamba ipo siku chanjo na tiba vitapatikana.

Wanasayansi waliohudhuria mkutano huo waliitaka dunia isiogope kutokana na kushindwa kwa baadhi ya tafiti kama ilivyokuwa kwa mtoto wa Jimbo la Mississippi, nchini Marekani ambaye alitangazwa amepona na baadaye virusi vikaibuka upya.



Wednesday 23 July 2014

Ronaldinho ● Best Goals Ever

MBUNGE NA MWIMBAJI WA SOMALIA AUAWA


Mwanamuziki maarufu ambaye pia ni mbunge nchini Somalia, Saado Ali Warsame amepigwa risasi na kufa na wanamgambo. Aliuawa pamoja na mlinzi wake, katika shambulio la kutumia gari mjini Mogadishu. Msemaji wa kundi la al-Shabaab, Abdulaziz Abu Musab ameiambia BBC kuwa ameshambuliwa kutokana na sababu za kisiasa na sio muziki wake. Mwandishi wa BBC mjini Mogadishu Mohammed Moalimu amesema huyu ni mbunge wa nne kuuawa mwaka huu. Bi Warsame alipata umaarufu enzi za utawala wa rais wa zamani Siad Barre, aliyeondolewa madarakani mwaka 1991. Aliishi uhamishoni nchini Marekani kwa muda mrefu na alirejea mwaka 2012 na kuwakilisha ukoo wake katika bunge jipya la Somalia. Mwandishi wa BBC Idhaa ya Kisomali Abdullahi Abdi anasema Bi Warsame atakumbukwa zaidi kwa muziki wake. Alikuwa mmoja wa wasomali wanawake wachache aliyepanda jukwaani bila kujifunika kichwa na mara nyingine kuvaa suruali, jambo ambalo sio la kawaida kwa wanawake wa Somalia, amesema Abdi.

Wednesday 16 July 2014

MASAI NYOTAMBOFU: BONGE LA PICHA: DIAMOND KABLA YA KUITWA SUKARI YA ...

MASAI NYOTAMBOFU: BONGE LA PICHA: DIAMOND KABLA YA KUITWA SUKARI YA ...: Atateeeeeeeee...!!!

Talk Updates™ : 6-year-old rapper wants to make your ‘booty pop’

Talk Updates™ : 6-year-old rapper wants to make your ‘booty pop’: 6-year-old rapper who wants to make the ladies' booties pop! Albert is a first grader from South Florida who has been writing rhy...

HIZI NDIZO SABABU ZA KUKAUKA KWA UKE WA MWANAMKE WAKATI WA KUFANYA MAPENZI.


Swala la kukauka kwa uke mara baada ya mwanake kufika kileleni ni la kwaida kwa wanawake wengi na huwa na sababu mbali mbali ambazo mimi nitakutajia kwa kifupi tu kamaifuatavyo:-

1-Mwanamke huitaji kunyegeshwa tena baada ya bao la lake la kwanza, inategemea lilipopatikana kama kwenye Kipele G, Kwenye Kisimi, Mwisho wa Uke au kuta za uke. Ikiwa amepata bao "via" kisimi hapo lazima atahiji muda kidogo wa kupumzika kama dakika kumi 5+ kisha wewe mpenzi wake ni wajibu wako kumnyegesha tena kwa kucheza na sehemu nyngine za mwili wake mbali na Kisimi. Inaweza kuwa kum-busu, kumla denda huku unamshika-mshika na kadhalika.

2-Mwanamke kuwa na uwezo mdogo wa kungonoana (low sex drive/libido) ni wazi kuwa hamjuani hivyo yawezekana yeye yuko hivyo na mara baada ya wewe kupiga bao la kwanza ksiha kurudi na "kumpigisha" yeye bao lake ndio ilikuwa mwisho wa "game" mpaka kesho au labda wiki ijayo kama sio mwezi mwezi ujao. Kama ulihitaji tena kwenda basi ulitakiwa kumfaya aendelee kuwa "interested" kiakili nakimazingira zaidi ya kimwili na pia ungepaswa kutumia kilainisho kwa ajili ya Condom au hata K-Y Jel.

3-Mwanamke kutokuvutiwa na ufanyaji wako, kama ulivyosema kuwa ilikubidi uache nje-ndani, swala l a kungonoana ni pana na sio kusimamisha kisha kupiga nje-ndani mwanzo mpaka mwisho >>( Kuna wanawake kibao baada ya kibaruti cha kwanza inabidi uanze upya kuwatuliza a.k.a kuwa NYEGELESHA. Dawa yake kwa wengi usikazanie NJe ndani Nje ndani sana kama ushambarutisha tayari. Cheza sindimba au msondongoma katika mduara bila kuvuta filimbi nje wakati unaASALISHA mambo mengine!Baada yamuda kadhaa wakati unahisi au unasikia pumzi fulani ndio endeleza pupa kama navyohisi unafanya.Hii hasa kama unacheza mkao wa kimishenari ).<<

4-Mwanamke kutokuwa na mapenzi pia inaweza kuwa sababu ya Uke wake kuwa mkavu mara baada ya zile nyege mshindo kumalizika/kumtoka (baada ya yeye kufikia Mshindo), mwanamke kama hana mapenzi huishiwa hamu ya kuendelea kungonoka haraka sana mara tu baada ya bao lake la kwanza.

5-Kuchoka au Uvivu, mwanamke kama kachoka au mvivu hali hiyo ya ukavu ukeni hujitokeza kwa vile akili yake inakuwa haipo/haizingatii kilekinachofanyika bali saa ngapi atapata nafasi ya kwenda kulala/pumzika.

Condom huwa hazisababishi Uke kukauka tena japokuwa inashauriwa kubadili au kutumia kilainisho kilichotengenezwa kwa ajili hiyo. Makampuni mengi ya bidhaa hzi yanatoa mafuta maalum kabisa kwa ajili ya kukuongezea ile hali ya ulaini amabo unakulinda wewe kwa kuzuia Condom kupasuka/chanikakutokana na ukavu wa Uke na vilevile kumuongezea mwanamke raha ya tendo.

Condoms hazimsababishii mwanamke maumivu bali ile hali ya wewe kumfanya mwanamke mwenye uke mkavu kwa muda mrefu ndio inasababisha maumivu.Ili ufurahie Ngono basi ni vema ukatafuta mwanamke mmoja umpendae na yeye akupende na mfanye tendo kwa ushirikiana na kumbuka ku-focus kwenye kufurahia tendo zaidi kuliko kupiga mabao na mambo yatakuwa bomba kabisa.
Swala la kukauka kwa uke mara baada ya mwanake kufika kileleni ni la kwaida kwa wanawake wengi na huwa na sababu mbali mbali ambazo mimi nitakutajia kwa kifupi tu kamaifuatavyo:-

1-Mwanamke huitaji kunyegeshwa tena baada ya bao la lake la kwanza, inategemea lilipopatikana kama kwenye Kipele G, Kwenye Kisimi, Mwisho wa Uke au kuta za uke. Ikiwa amepata bao "via" kisimi hapo lazima atahiji muda kidogo wa kupumzika kama dakika kumi 5+ kisha wewe mpenzi wake ni wajibu wako kumnyegesha tena kwa kucheza na sehemu nyngine za mwili wake mbali na Kisimi. Inaweza kuwa kum-busu, kumla denda huku unamshika-mshika na kadhalika.

2-Mwanamke kuwa na uwezo mdogo wa kungonoana (low sex drive/libido) ni wazi kuwa hamjuani hivyo yawezekana yeye yuko hivyo na mara baada ya wewe kupiga bao la kwanza ksiha kurudi na "kumpigisha" yeye bao lake ndio ilikuwa mwisho wa "game" mpaka kesho au labda wiki ijayo kama sio mwezi mwezi ujao. Kama ulihitaji tena kwenda basi ulitakiwa kumfaya aendelee kuwa "interested" kiakili nakimazingira zaidi ya kimwili na pia ungepaswa kutumia kilainisho kwa ajili ya Condom au hata K-Y Jel.

3-Mwanamke kutokuvutiwa na ufanyaji wako, kama ulivyosema kuwa ilikubidi uache nje-ndani, swala l a kungonoana ni pana na sio kusimamisha kisha kupiga nje-ndani mwanzo mpaka mwisho >>( Kuna wanawake kibao baada ya kibaruti cha kwanza inabidi uanze upya kuwatuliza a.k.a kuwa NYEGELESHA. Dawa yake kwa wengi usikazanie NJe ndani Nje ndani sana kama ushambarutisha tayari. Cheza sindimba au msondongoma katika mduara bila kuvuta filimbi nje wakati unaASALISHA mambo mengine!Baada yamuda kadhaa wakati unahisi au unasikia pumzi fulani ndio endeleza pupa kama navyohisi unafanya.Hii hasa kama unacheza mkao wa kimishenari ).<<

4-Mwanamke kutokuwa na mapenzi pia inaweza kuwa sababu ya Uke wake kuwa mkavu mara baada ya zile nyege mshindo kumalizika/kumtoka (baada ya yeye kufikia Mshindo), mwanamke kama hana mapenzi huishiwa hamu ya kuendelea kungonoka haraka sana mara tu baada ya bao lake la kwanza.

5-Kuchoka au Uvivu, mwanamke kama kachoka au mvivu hali hiyo ya ukavu ukeni hujitokeza kwa vile akili yake inakuwa haipo/haizingatii kilekinachofanyika bali saa ngapi atapata nafasi ya kwenda kulala/pumzika.

Condom huwa hazisababishi Uke kukauka tena japokuwa inashauriwa kubadili au kutumia kilainisho kilichotengenezwa kwa ajili hiyo. Makampuni mengi ya bidhaa hzi yanatoa mafuta maalum kabisa kwa ajili ya kukuongezea ile hali ya ulaini amabo unakulinda wewe kwa kuzuia Condom kupasuka/chanikakutokana na ukavu wa Uke na vilevile kumuongezea mwanamke raha ya tendo.

Condoms hazimsababishii mwanamke maumivu bali ile hali ya wewe kumfanya mwanamke mwenye uke mkavu kwa muda mrefu ndio inasababisha maumivu.Ili ufurahie Ngono basi ni vema ukatafuta mwanamke mmoja umpendae na yeye akupende na mfanye tendo kwa ushirikiana na kumbuka ku-focus kwenye kufurahia tendo zaidi kuliko kupiga mabao na mambo yatakuwa bomba kabisa.