Saturday 12 April 2014

HAWA NDIYO WATU MAARUFU HAPA BONGO AMBAO WAPENZI WAO HAWAJULIKANI MPAKA LEO HII...!!



 
1. Martin Kadinda

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjF0LZewTLaa50hnSPUe9sH4i-dtaiPC-6Say4ppwOXy2LtqmXQCEF239Ybv3c8ddz8RruGq1A1mUv3iZmJudysIFaWKl_Q4RsxYi273UHiLRyYLDvIWc0kzNAGiSMIqr3Nlm6oHu3tugfd/s1600/zz14.jpg

Ni mwanamitindo maarufu apa bongo, na anayefanya vizuri kwenye tasnia hiyo, pia ni manager wa wema sepetu. Huyu amekuwa akipiga picha na warembo tofauti tofauti , ila haijawahi kuripotiwa popote mrembo anayetoka nae ata kwa kupakaziwa.
 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhEXtV3b2ogdzk3_rYLYy9kY7UzA89_qah1QuZBmZ605ouvWXYGTXKQTt_yiP6jri46e_HOZYdrHyMARA92sSVPFFmR0ejXhUsnYddlQLmR9Ux4ngpou5fYBwSon8qmptZ47DL9R4kSauo/s400/salama1.jpg
2. Salama Jabir
Huyu ni mtangazaji wa mkasi TV show, mbali na muonekano wake wa kuvutia ila hadi Leo haijawahi kuripotiwa mtu anayemmliki hata kwa kusingiziwa. 
  https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEha8faErkPUcbjEj7L4oVbIvRSyXxFXNdx63-64wMxUgoBI61mzx6oyW5A3fbBEob9GvNQDYqCpkwCQdN3gOLuXg2zt38_BO96SoUjkw9OGRB04Qb3wL_Ky_0aFTp1eA35RPaAagrSQ2CDw/s1600/1966679_10152475744508243_1894966423_n.jpg
3.Ben Pol
mwanamuziki classic wa bongo fleva, achilia mbali muonekano wake wa kuvutia , naye mpaka Leo mpenzi wake hajulikani, na wala haijawahi kuripotiwa popote kama ana mpenzi au la.
  http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/04/DSC_1308.jpg
4. DJ Fettty
Huyu ni mtangazaji wa clouds FM, ana sura na umbo la kuvutia , ila hadi Leo haijulikani mtu anayekula mzigo nani, japo kwa kusingiziwa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjyOAlmU1hFhLCN1bUSXfrmUxNhBa6FyElBU6oAT_R47JtP-LqJYdvhmH00cSwwxAMPu0_8HO6h5NtYkPV5QXdbBxA3CO8ZUVxOmMKtVFZMoeYnlSK3n22eTqoJkAGfotMxzHIhb3BDvoTE/s640/488021_10151512992653792_251883971_n.jpg
5.Millard Ayyo
Mtangazaji machachari kutoka clouds FM, pamoja na utanashati wake ila haijawahi kuripotiwa popote kama yupo kwenye mahusiano na haijulikani mpenzi wake ni nani
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTvStyA4qeyqEUn3qYmCeIltFAMTELT-VNnF5fXppp2pm5DVnyC_0x5Sc0k0mg6TLmWtfi-gp43dAkgE7_6bYuMDYKE9f2iOkGDdQLsy0JUgxWtDUfMhiyOh9xricDlHE48_sfEpfE_HY/s1600/163146_10150129351260239_521940238_8253144_1944144_n.jpg
6. B 12
Huyu kama ilivyo kwa Millard, hajawahi kuhusishwa na scandal yeyote ya kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, haijulikani kama yupo au la.
  http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/08/adam_mchomvu.jpg
7. Adam Mchonvu
huyu pia hajawahi kusikika au kuhusishwa na mahusiano ya aina yeyote.
  http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/01/ally-re.jpg
8.Ally Rehmtulah
Mbunifu wa mavazi, naye huyu hajawahi kuhusishwa na wala haijuilikani kama ana mpenzi au la.

No comments:

Post a Comment