Sunday 29 September 2013

Grace Mbowe, mmewe na mtoto wao wafariki ajalini - Kabuku, Segera - Tanga


Kuna ajali mbaya imetokea asubuhi hii eneo la Segera ambapo gari aina ya GX100 limepinduka na kuuwa watu watatu ambao walikuwa abiria wa gari hilo.

Card ya gari inasemekana ina jina la mmiliki aitwae Grace aikaeli Mbowe. Grace Mbowe mwanamama aliyedaiwa  kuhamia CCM wilayani Hai ni dada wa mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.

No comments:

Post a Comment