Friday 27 September 2013

Walinipiga risasi lakini nikaponea











Watu 62 wamefariki katika shambulii la kigaidi lililofanywa na magaidi wa Al Shabaab katika jengo la Westgate na wengine zaidi ya 175 kujeruhiwa. Magaidi hao walivamia jengop la Westgate siku ya Jumamosi mchana na kuwafyatulia risasi kiholea watu waliokuwa ndani ya jengo hilo.
Vikosi vya usalama vimeweza kudhibiti jengo hilo na kuwaua magaidi tisa. Hata hivyo baadhgi ya watu waliweza kunusurika kifo kwa kukimbilia usalama wao na wengine labda kwa kutokuwa tu katika ghorofa ambako wanamgambo hao walifanya mashambulizi.
Mmoja wa wale walionusurika ni Salpat Singh

No comments:

Post a Comment