Sunday 29 September 2013

UKWELI KUHUSU HABARI ZA UONGO ZILIZOANDIKWA KWENYE MAGAZETI YA CCM NA SERIKALI KUHUSU WANACHAMA WA CHADEMA WALIOHAMIA CCM MKOANI TANGA WILAYA YA HANDENI

 
 
 
 
 
 
1.SHABANI NGIDO hajawahi kuwa katibu wa wilaya ya handeni wala mwanachama wa chadema kwani katibu wa wilaya ya HANDENI ni LUKASI ELISA SELEMAN kwa hiyo kuhusu katibu wa wilaya chadema kuhamia ccm ni uongo

2.mwenyekiti chadema wilaya ya HANDENI NDIYE KIONGOZI PEKEE ALIYEHAMIA CCM BAADA YA KUMTISHA KUWA WATACHOMA NYUMBA YAKE

3.taarifa za wanachama 300 wa chadema kuhamia ccm ni za uongo badala yake wamehama wanachama 11 na mwenyekiti ni wa 12 tuna daftali la wanachama wa chadema wote wilayani humo.WALIGAWA KADI ZA CHADEMA BANDIA ZILIZOAGIZWA CHINA MWEZI WA 4 MWAKA HUU ZAIDI YA 300 KWA WANACHAMA WA CCM ILI KUUDANGANYA UMMA NA WATU WENYE AKILI NDOGO WAAMINI KUWA CCM IMEVUNA WANACHAMA WAPYA KUTOKA CHADEMA

4.walinunua bendera za chadema kwa gharama ya sh.20,000 hadi 30,000 ilimladi zisipepee sehemu wanazopita kwenye wilaya hiyo

SWALI KWA VIONGOZI WA CCM;udanganyifu huu mnaufanya kwa faida ya nani?MAISHA BORA NA AJILA KWA VJANA NDO HIZI ZA KUWAPA KADI BANDIA ZA CHADEMA?
NI KUKOSA AKILI HEKIMA NA BUSARA KWA VIONGOZI HAWA WA CCM.
Chanzo jamii FORUM.

No comments:

Post a Comment