Thursday 16 January 2014

Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM aunguruma

Mgana Msindai ametoa siku 7, kwa mwenyekiti wa mkoa wa Geita amwombe msamaha kwa kumtuhumu kuwa alikuwa amelewa pombe siku ile alipomuunga mkono Edward Lowasa kwa kuwaletea wananchi wake maendeleo.

No comments:

Post a Comment