Tuesday 4 February 2014

Alichokiandika RIDHIWANI KIKWETE NIMESIKITISHWA NA HABARI ILIYOANDIKWA KATIKA HILI GAZETI


 Alichokiandika RIDHIWANI KIKWETE

NIMESIKITISHWA NA HABARI ILIYOANDIKWA KATIKA HILI GAZETI

Nimesikitishwa sana na habari iliyochapishwa na Kaka Freeman Mbowe wa CHADEMA ambae ndie mmiliki halali wa gazeti hili. Nimetumiwa Softcopy ya gazeti hili na kurasa zake na nigazeti la muda kidogo tangu litoke ila sikubahatika kulisoma nimetumiwa asubuh ya leo.

Gazeti hili limeniandika ndivyo sivyo kwa madai kua Taasisi yangu ya Utoaji mikopo SOCIAL CREDIT COMPANY inatoa mikopo ya kibinafsi kitu ambacho sio kweli na ninadhani wameandika hivi kwa chuki tu za kisiasa.

SOCIAL CREDIT COMPANY ni taasisi inayotoa mikopo bila ubaguzi wowote mwananchi yoyote ambae ni raia wa Tanzania anaweza kujiunga na SOCIAL CREDIT COMPANY na akapatiwa mkopo wa pesa wenye marejesho rahisi yasiyokua na RIBA na hata ukipitia maelezo ya SOCIAL CREDIT COMPANY katika tovuti mikopo imewalenga wananchi watanzania ambao ni masikini sasa hawa CHADEMA wao wamepata wapi ujasiri wa kuandika vitu hivi bila kua na uhakika wa jambo?! Kiukweli sijapenda hata kidogo.

SOCIAL CREDIT COMPANY sijaianzisha kwa upendeleo mtu yoyote anaetaka mkopo anaweza akajiunga na akapatiwa mkopo, mikopo inatolewa bila upendeleo kila mtanzania anaruhusiwa kujiunga na kuomba mkopo katika Taasisi yangu, kujiunga ni rahisi bofya hapa: http://socialcredit.wapka.mobi soma maelekezo jaza fomu fanya malipo ya ada za kujiunga na utapokea mkopo wako ndani ya dakika45 au kama upo karibu na ofisi za SOCIAL CREDIT COMPANY zilizopo mnazi mmoja mtaa wa uhuru, jengo namba 360 ghorofa la Tamwa jirani na NBC karibu sana ujiunge.

Kama uko mbali na ofisi za SOCIAL CREDIT COMPANY bofya hapa: http://socialcredit.wapka.mobi kila mtanzania anaruhusiwa kujiunga hakuna ubaguzi wowote.



No comments:

Post a Comment