Wednesday 11 December 2013

DUNIA YAMKUMBUKA MANDELA KATIKA MKUSANYIKO MKUBWA SOWETO

Ndugu na jamaa wa Mandela wakiwa wamekaa uwanjani huku mvua ikinyesha katika ibada ya kumkumbuka Mandela.
Picha kubwa ya Mandel ikiwa katika Uwanja wa FNB.
Rais Obama wa marekani (katikati) akiwa na mkewe Michele (kulia) na Waziri Mkuu wa Denmark Helle Thorning-Schmidt.
Mke wa zamani wa Mandela, Winnie (kushoto) akiwa uwanjani.
Mabinti wa Mandela (toka kushoto)  Zindzi, Zenani na Makaziwe Mandela, na mkewe wa zamani Winnie Mandela Madikizela.Uwanja ulipofanyika ibada ya kumkumbuka Mandela.
Miamvuli ilitawala uwanjani hapo kutokana na mvua iliyokuwa ikinyesha.
Baadhi ya viongozi duniani waliohudhuria ibada hiyo.
Rais  Jacob Zuma, akiwasili uwanjani.
Aliyekuwa rais wa Afrika Kusini kabla ya Mandela,  FW de Klerk, akiwa na mkewe wakiwa uwanjani.
MARAIS kibao na wananchi wa Afrika Kusini na kutoka duniani walikusanyika katika uwanja wa FNB wa Soweto katika kumkumbuka rais mstaaafu wa Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela.
PICHA ZOTE NA DAILYMAIL

No comments:

Post a Comment