Wednesday 30 October 2013

Kikao cha Baraza la Madiwani la Hamshauri ya Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza leo kimetawaliwa na vurugu

Kikao cha Baraza la Madiwani la Hamshauri ya Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza leo kimetawaliwa na vurugu na mabishano hali iliyopelekea kuvunjika kwa kikao hicho.

Vurugu na kurushiana maneno makali, zilianza baada ya Meya wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Henry Matata lipotoa amri ya kuwafukuza kwenye kikao madiwani wawili kutoka chama cha Demokrasi na maendeleo (CHADEMA).

No comments:

Post a Comment