Tuesday 20 August 2013

Hawa ndio vigogo wauza unga















Gazeti la Jamhuri limeendelea kutaja majina ya wauza unga wiki hii likija na majina na matatu na makazi ya wahusika. Wapo waliotajwa kwa namba za magari yao. 

Yapo majina 240, wako wahusika kutoka nchi za nje, lakini zaidi ya 95% ni watz

Miongoni mwao wamo Mdogo wa Rostam Azziz, aitwaye Assad Azziz (No 23 kwenye list) na mtoto wa Amatus Lyumba aliyekuwa BOT, Morine Amatus Lyumba(No 66 kwenye list)

Nimeyascan majina kutoka kwenye gazeti hapa chini

Zaidi soma Gazeti la Jamhuri.

No comments:

Post a Comment