Monday 19 August 2013

WACHUNGAJI WA DESI WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 3, MMOJA ACHOMOKA


Wachungaji watano wa makanisa ya Pentekoste waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kuendesha biashara ya upatu kupitia Taasisi yao ya Desi Tanzania na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu leo mmoja wao aitwaye Albogast Francis ameachiwa huru baada ya kuonekana hana hatia wakati wengine wanne wakihukumiwa kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya shilingi milioni 21 kila mmoja pamoja na kutaifishwa mali zao.

No comments:

Post a Comment