Monday 19 August 2013

SADC YAPATA KATIBU MKUU MTENDAJI MPYA NI MTANZANIA


Katibu Mtendaji mpya wa SADC Dr.Stergomena Tax akila kiapo mbele ya jaji mkuu wa Malawi Anastazia Msoza wakati wa mkutano wa 33 wa wakuu wa nchi za SADC uliofanyika jijini Lilongwe Malawi  jana

No comments:

Post a Comment