Thursday 22 August 2013

MWANAMKE AOKOLEWA BAADA YA KUTAKA KUJIRUSHA KUTOKA GHOROFA YA 7 NCHINI CHINA


Mwanamke mmoja  nchini China amenusurika kufa baada ya kuokolewa na Askari wa Kikosi cha Zimamoto alipotaka kujirusha kutoka ghorofa ya saba ya jengo lililopo nchini humo.
Askari alimuwahi mama huyo kabla hajajirusha na kumvutia pembeni. Tukio hilo limetokea jijini Tongren, nchini China juzi Jumatatu.
Video hapo juu inamwonyesha askari aliyekuwa amejifunga kamba kiunoni kwa ajili ya usalama akimwokoa mama huyo na kumpeleka sehemu salama kabla ya kukimbizwa hospitali kwa matibabu.

No comments:

Post a Comment